
Wapinzani wa Yanga katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Africa, Township Rollers wamedai kuwa hapa Tanzania wana mashabiki wengi sana.
Akizungumza na waandishi wa Habari nahodha wa wa klabu hiyo amedai kuwa anajua hapa Tanzania wana mashabiki wengi.
“Mara ya mwisho kuja hapa tulishangiliwa na mashabiki wengi sana hapa, najua watakuwepo tena katika mechi ya leo”. Amedai nahodha huyo wa Township Rollers.
Unaweza soma hizi pia..
Vigogo wa Afrika wanalakujifunza kwa Simba hii!
Simba licha ya kutolewa katika robo fainali ya klabu bingwa Afrika mara mbili na Shirikisho mara moja lakini bado hakupoteza nyumbani
Kocha Al-Ahly aukataa uwanja wa Fainali!
Miongoni mwa timu zinazoonekana kuwa katika nafasi nzuri ya kutinga fainali ni Wydad Casablanca na Al-Ahly.
Kuna somo katika kipigo cha Mamelody kutoka kwa Waangola.
Sio bahati walijipanga, ni kwasababu bajeti yao wakati msimu unaanza ilikuwa ni shilingi bilioni 23.1
Kocha Msouth: Tunajua jinsi ya kushinda hizi mechi.
Tunahitaji kuboresha ufungaji wetu, lakini tuna uhakika katika uwezo wetu wa kusonga mbele.