Azam fc yaitandika Prisons 2-0
Mabingwa wa kombe la mapinduzj klabu ya soka ya Azam FC, leo hii imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Prisons ya Mbeya, katika mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Katika mchezo huo ambao Azam FC, walikuwa ugenini kunako uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya Haikuwa...