Abdallah Saleh

Mchambuzi
Mchambuzi wa habari za mpira wa miguu katika kituo Times FM.
Ligi Kuu

Azam fc yaitandika Prisons 2-0

Mabingwa wa kombe la mapinduzj klabu ya soka ya Azam FC, leo hii imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Prisons ya Mbeya, katika mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Katika mchezo huo ambao Azam FC, walikuwa ugenini kunako uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya Haikuwa...
Mataifa Afrika U17

Mwakyembe aitembelea Serengeti boys

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe, leo hii Jumamosi Januari 20, 2018 ameitembelea kambi ya timu ya taifa ya vijana walio chini ya wa miaka 17, Serengeti boys iliyopo kwenye hostel za shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF Katika ziara hiyo Mwakyembe aliweza kuona jinsi...
EPL

10 usiyoyajua kuhusu N’golo Kante

1. Jamaa aliikataa timu ya taifa ya Mali na kuamua kuichezea Ufaransa, huku viongozi wa shirikisho la soka nchini Mali wakijaribu mara mbili kumshawishi Kante kuchezea timu yao lakini aligoma, ingawa alizaliwa Ufaransa wazazi wake ni Raia wa Mali 2. Kwa sasa Kante ni mmoja ya wachezaji wanailipwa vizuri, akiwa...
Ligi Kuu

Msimamizi kituo cha Mtwara afungiwa maisha

Kamati ya maadili ya shirikisho la mpira Tanzania TFF limemfungia kutojihusisha na mchezo wa soka maisha msimamizi wa kituo cha Mtwara Dustan Mkundi kwa kughushi na udanganyifu wa mapato ya mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kati ya wenyeji Ndanda FC dhidi ya Simba sc ikiwa ni kwenda...
Ligi Kuu

Yanga SC yajipanga dhidi ya Ruvu shooting

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, wapo kwenye maandalizi kabambe ya kuhakikisha wanaibuka na ushindi katika dhidi ya Ruvu shooting ya Pwani Katika mchezo huo wa ligi kuu utakaofanyika Jumapili kunako dimba la Uhuru jijini Dar es salaam, huenda Yanga ikaendelea kuwakosa mshambuliaji Donald Ngoma na mlinzi Abdallah Shaibu...
Ligi Kuu

Tathimini ya mchezo Simba vs Singida United

Kwa hakika ulikuwa mchezo mzuri na wenye ushindani wa kiufundi kwa timu zote mbili. Simba wakitumia tactical deployment 3-5-2 walionekana kumiliki mpira kwa kiasi fulani kuanzia kwenye eneo lake la kiungo, tofauti na michezo iliyopita kwenye mchezo wa leo simba walionekana kuimalika vema kwenye mfumo na aina yao ya uchezaji....
La Liga

Kwaheri fundi Ronaldinho Gaucho

Tarehe 21, Machi 1980 kunako mji wa Port Alegre nchini Brazil mtoto Ronaldo de Assis Moreirra alizaliwa, mzee Joao Moreirra na mkewe Bi Miguerina De Assis walifanikiwa kumzaa mtoto ambaye baada ya miaka kadhaa kupita alifanikiwa kuwa mwandinga maarufu Jina lake halisi anaitwa Ronaldo lakini wabrazil ili kumtofautisha na Ronaldo...
Ligi Kuu

Licha ya sare, Lwandamina alikuwa jukwaani tu

Kocha mkuu mabingwa watetezi wa ligi ya soka Tanzania bara Yanga sc, George Lwandamina, leo hii ameshuhudia kikosi chake kikigawana alama na Mwadui Fc akiwa jukwaani Lwandamina alikuwa jukwaani na baadhi ya viongozi wa Yanga katika kile kilichoelezwa kuwa kibali chake cha kufanyia kazi nchini kimekwisha muda wake "Bado tunaendelea...
LigiLigi Kuu

Yanga yasaini mkataba na Macron

Klabu ya soka ya Yanga leo hii imeingia mkataba wa miaka mitatu (3) na kampuni ya Macron wenye thamani ya shilingi za kitanzania bilioni 2, kwa ajili ya utengenezaji na uuzaji wa jezi za klabu hiyo Akizungumza katika hafla ya kusaini mkataba huo leo makao makuu ya klabu hiyo, yaliyopo...
Ligi Kuu

Viongozi wa Simba, Ndanda fc wapelekwa kamati ya maadili

Sekretarieti ya shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF imewapeleka kwenye kamati ya maadili viongozi wanne kwa kughuhushi na udanganyifu Viongozi walioshtakiwa kwenye ya Kamati ya maadili ni msimamizi wa kituo cha Mtwara Dunstan Mkundi, Katibu wa Chama cha soka mkoa wa Mtwara Kizito Mbano, muhasibu msaidizi wa klabu ya...
1 13 14 15 16 17
Page 15 of 17