Tathimini ya mzunguuko wa ligi kuu ya soka Tanzania bara
Mzunguuko wa kwanza wa ligi kuu ya soka Tanzania bara ulikamilika mwishoni mwa juma lililopita huku ukishudiwa na changamoto mbalambali. Simba sc wao wameibuka vinara katika mzunguuko huo wa kwanza, jumla ya alama 35 wamekusanya na kwa hakika msimu huu kikosi chao kimesheheni wacheza nyota hii tofauti sana na misimu...