Manji ni shujaa anayesalitiwa Yanga SC
WANACHAMA/ mashabiki na wapenzi wa Yanga SC wanaweza kupinga kila kitu- kumkataa mwenyekiti wao wa muda, Thobias Lingalanagala, Shirikisho la soka nchiniTFF na hata Baraza la michezo Tanzania ( BMT), lakini katu hawawezi kumshawishi, Yusuph Manji kurejea kuwa mwenyekiti wa klabu yao kwa mara nyingine. BARUA YA KUJIUZULU Nimewahi kuandika...