Baraka Mbolembole

Mwandishi na Mchambuzi mkongwe na aliyebobea katika familia ya kandanda. Baraka anandika habari na uchambuzi wenye tafakari na jicho la tatu ndani yake. Ukimuelewa utapata ‘madini’ mazuri kutoka kwake, kwake yeye ‘spedi’ ni ‘spedi’ na ‘kijiko’ ni ‘kijiko’.
Blog

Ni Yanga pekee wanaoweza kumsaidia Kindoki

MWAKA 2004 nikiwa U18 nilikuwa sehemu ya kikosi cha Jamaica FC ya Mkoani Morogoro. Katika moja ya siku mbaya katika maisha yangu ya soka ilikuwa wakati kocha Ally Jangalu aliponifanyia mabadiliko dakika tano kabla ya kumalizika kwa kipindi cha kwanza. Ilikuwa ni katika mchezo wa kirafiki ndani ya uwanja wa...
Ligi Kuu

Mrisho Ngassa; Tutahitaji sapoti ya mashabiki, hatutawaangusha

WINGA/kiungo-mshambulizi wa Yanga SC, Mrisho Ngassa amewaomba mashabiki/wapenzi na wachama wa klabu yao kuendelea kuwaunga mkono katika kipindi hiki kigumu wanachopitia kiuchumi, na kusisitiza wao kama wachezaji wataendelea kusaka ushindi uwanjani. Ngassa alifunga goli la ushindi katika mchezo wa Alhamis hii dhidi ya Mwadui FC katika uwanja wa Kambarage, Shinyanga...
Ligi Kuu

Kapombe ni pengo, lakini..!

KWA mara nyingine mlinzi ´kiraka´ wa klabu ya Simba SC na timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars), Shomari Kapombe atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu baada ya kuumia kifundo cha mguu Alhamis iliyopita. Kapombe alikanyaga vibaya mpira katika mazoezi ya timu ya Taifa wakati wakijiandaa na...
Ligi Kuu

Mambo si mambo ndani ya Mbao FC, Amri Said kutimka.

LICHA ya kuanza msimu kwa mwendo wa kuridhisha ikiwemo kuongoza ligi kuu kwa wiki kadhaa, habari za ndani nilizozipata ni kwamba wachezaji wa Mbao FC wameanza kumpa wakati kocha mkuu wa timu hiyo Amri Said ´Stam´. Jumanne hii Amri aliingia katika mzozo na uongozi wake akiwashinikiza kuwalipa mishahara wachezaji wake...
Blog

Kama soka ni hesabu, Stars itaenda Cameroon.

NILIKUWA na imani kubwa kwa Lesotho kupata ushindi dhidi ya Tanzania katika mchezo wa tano wa kundi la mwisho kuwania nafasi ya kufuzu kwa fainali za kombe la Mataifa ya Afrika 2019 (michuano itakayo nchini Cameroon) MIPANGO Kwa sababu za kimpira, mechi ya Jumapili huko Maseru ilikuwa ngumu tangu Oktoba...
Blog

Uganda haitaibeba Stars zaidi ya kuifundisha.

GOLI la kichwa la mshambulizi, Patrick Henry dakika 11 kabla ya kumalizika kwa mchezo limeipa Uganda ´Korongo´ tiketi ya kufuzu kwa mara ya pili mfululizo fainali za Mataifa ya Afrika. Katika mchezo mgumu wa kundi L jioni ya Leo katika uwanja wa Namboole, Kampala wenyeji walionekana kama wangepoteza, kabla ya...
Ligi Kuu

Kanduru arejea kuungana na Dilunga kuwaua Azam FC

BAADA ya kukosa michezo 11 ya klabu yake kutokana na malazi ya ‘Apendex´, mshambulizi wa Ruvu Shooting, Issa Kanduru amejiunga na wenzake kwa ajili ya maandalizi kuelekea mchezo wao wa Alhamis ijayo dhidi ya Azam FC. Kanduru ambaye amecheza michezo miwili tu kati ya 13 ya timu yake katika ligi...
Blog

Mhilu na kundi la yosso watano wanapaswa kusaidiwa Yanga SC

MAKA Edward, Yusuph Mhilu, Paul Godfrey ni wachezaji vijana ambao waliweza ´kuruka´ kutoka timu ya vijana na moja kwa moja kupata nafasi ya kucheza ligi kuu Tanzania bara. Vijana hao watatu waliungana na waliokuwa wachezaji wa timu ya Taifa Tanzania U17 April, 2017 katika michuano ya Mataifa ya Afrika, golikipa...
Ligi Kuu

Malimi Busungu: Nimeachana na soka moja kwa moja

MSHAMBULIZI wa zamani wa Manyema FC, Polisi Tanzania, Coastal Union, JKT Mgambo na Yanga SC, Malimi Busungu ameamua rasmi kuachana na soka la ushindani. Busungu ambaye alikuwa akiichezea Lipuli FC tangu msimu uliopita ameuambia mtandao huu Leo Jumanne kuwa ameachana na soka moja kwa moja huku akisita kuweka wazi sababu...
1 5 6 7 8 9 14
Page 7 of 14