Arsenal watangaza kuingia mkataba mnono na Adidas.
Klabu ya soka ya Arsenal Jumatatu hii, imetangaza kuingia mkataba na kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya michezo ya nchini Ujerumani Adidas, mkataba ambao unatarajiwa kuanza Julai mwakani. Adidas watachukua nafasi ya Puma ambao mkataba wao wa miaka mitano na klabu hiyo ya Kaskazini mwa London unafikia tamati mwishoni mwa...