Ligi Kuu

Singida United kupitisha ‘fyekeo’ dirisha dogo la usajili.

Klabu ya soka ya Singida United kutoka mjini Singida imeweka wazi mipango yake katika dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa katikati ya mwezi Novemba. Mkurugenzi wa klabu hiyo Festo Richard Sanga amesema klabu hiyo haina mpango wowote wa kuongeza wachezaji katika dirisha dogo na badala yake wamekusudia kupunguza wachezaji kwani...
Blog

Kelvin John ‘Mbappe’ apata dili nchini Denmark.

Nyota wa timu ya Taifa ya Vijana chini ya Umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys’ Kelvin Pius John 'Mbappe' anatarajiwa kuwa nchini Denmark kwa muda wa siku 18 katika Programu ya maendeleo ya kimichezo na timu ya HB Koge inayoshiriki ligi kuu nchini humo. Wakala wa mchezaji huyo ambaye ni...
Ligi Kuu

Azam waendelea na mazoezi, Domayo nje miezi miwili.

Timu ya soka ya Azam ya Jijini Dar es Salaam imeendelea na maandilizi kujiandaa na mchezo wa Ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya African Lyon utakaochezwa siku ya Ijumaa kwenye uwanja wa Azam Complex. Jaffary Idd Maganga ambaye ni afisa habari wa klabu ya Azam amesema lengo lao kuelekea...
EPL

Tottenham yapata Pigo.

Klabu ya Tottenham Hotspur imezidi kupata pigo baada ya kuripotiwa kuwa kiungo raia wa Kenya Victor Wanyama anaweza kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu kidogo kutokana na kuumia msuli wa paja wakati akiitumikia timu yake ya Taifa. Wanyama ambaye aliiongoza Kenya hapo jana kuibuka na ushindi wa mabao 3-0...
EPL

Manchester United kumuongezea Mkataba Luke Shaw.

Klabu ya soka ya Manchester United ya Uingereza imekubali kumuongeza mkataba beki wake wa kushoto Luke Shaw ambaye mkataba wake wa awali unakaribia kufikia kikomo mwezi Julai mwakani. Taarifa zimesema Shaw mwenye umri wa miaka 23 anaweza kuongeza mkataba mrefu na mnono zaidi kuliko ule wa awali aliosaini mwaka 2014...
Blog

Ally Ng’anzi wa Singida United apelekwa Ulaya.

Mchezaji kinda wa Timu ya soka ya Singida United Ally Hamis Ng'anzi anayecheza nafasi ya kati "Middlefield" amefanikiwa kupata timu ya kusakata kabumbu barani Ulaya katika nchi ya Jamhuri ya Czech kwenye klabu ya  ya MFK VySkov inayoshiriki ligi ya Moravian–Silesian Football League sawa na ligi daraja la tatu. “Hivyo...
Blog

Kumbe! Gibraltar wamepata ushindi wa kwanza baada ya mechi 22.

Nchi ndogo ya Gibraltar jana imeibuka na ushindi wa tatu toka ilipoanza kutambulika na shirikisho la soka Barani Ulaya (UEFA) baada ya kuichapa Armenia kwa bao 1-0 katika michuano ya UEFA Nations League. Nchi hiyo ndogo yenye idadi ya wakazi takribani 32,194 ilikuwa imecheza mechi 22 za ushindani bila kushinda...
BlogSerie A

Cassano atangaza kustaafu kwa mara ya tatu.

Mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid na AC Milan Antonio Cassano ametangaza kustaafu soka kwa mara ya tatu, siku chache tu baada ya kurejea uwanjani. Cassano ambaye aliwahi kuichezea timu ya Taifa ya Italy amesema sasa ameamua kabisa kuacha na soka kwa muda wa kufanya hivyo umefika baada ya siku...
1 19 20 21 22 23 34
Page 21 of 34