Singida United kupitisha ‘fyekeo’ dirisha dogo la usajili.
Klabu ya soka ya Singida United kutoka mjini Singida imeweka wazi mipango yake katika dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa katikati ya mwezi Novemba. Mkurugenzi wa klabu hiyo Festo Richard Sanga amesema klabu hiyo haina mpango wowote wa kuongeza wachezaji katika dirisha dogo na badala yake wamekusudia kupunguza wachezaji kwani...