Rasmi: Ngoma kurejea uwanjani, mechi dhidi ya Lipuli.
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Azam FC Donald Ngoma huenda akaonekana kwa mara ya kwanza kunako michuano ya ligi kuu soka Tanzania Bara pale timu yake itakapokuwa ikipepetana na Lipuli FC siku ya Ijumaa. Ngoma ambaye amekuwa na mejaraha ya muda mrefu, ambayo yalimfanya kuvunja mkataba na Yanga na...