Je unajua, Pique kuwa mchezaji wa 36, kucheza mechi 100 za UCL!
Mlinzi wa Barcelona Gerald Pique anaweza kuwa mchezaji wa 36 kucheza michezo 100 ya ligi ya Mabingwa Ulaya usiku timu yake itakapocheza na Tottenham Hotspur kwenye uwanja wa Wembley jijini London. Pique anaweza kuiongoza Barcelona leo ambao walishinda katika mchezo wao wa kwanza kwa mabao 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven....