Abdulhalim Humoud tunamuuza nje na siyo Yanga- Mtibwa Sugar
Baada ya jana mtandao huu kukuletea taarifa ya Yanga kumtaka Abdulhalim Humoud kutoka katika klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro na viongozi kukaribisha mazungumzo kati yao na klabu inayomtaka. Kupitia Afisa Habari wa klabu hiyo Thobias Kifaru , amezidi kuuambia mtandao huu kuwa klabu hiyo ya Mtibwa Sugar iko...