Juma Mahadhi arejea kumpiga benchi Morrison !
Unaikumbuka mechi kati ya Yanga SC na TP Mazembe pale uwanja wa Taifa ? Mechi ambayo tajiri na aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo , Yusuph Manji alipoamua kuwalipia mashabiki wa Yanga kiingilio na wakaingia bure. Tuachane na mambo ya kiingilio kwenye hiyo mechi. Kuna kitu kimoja tu ambacho huwa...