CLATOUS,KAHATA KUTUA WIKI IJAYO,SHARAAF BADO.
Kocha mkuu mkuu wa klabu ya Simba Sc Sven Vandenbroeck ameweka wazi kuwa wachezaji Clatous Chama ambae yupo Zambia na Francis Kahata ambae yupo Kenya watatua nchini wiki ijayo huku Sharaaf Shiboub ambae yupo Sudan akiendelea kusubiri mipaka ya nchini kwao Sudan ifunguliwe Sven amesema viungo hao nchi zao Zambia...