Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Ligi Kuu

Nashusha bonge la mjengo Dodoma- ZAHERA

  Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga , Mwinyi Zahera anataka kupafanya Tanzania kama nyumbani kwake baada ya Congo . Kocha huyo amedai kuwa ana mpango wa kujenga nyumba katika mji wa Dodoma ndiyo maana anatumia muda mwingi pia kuwepo Tanzania mara baada ya kuachana na Yanga . Kocha huyo...
Blog

Siondoki Tanzania mpaka YANGA wanilipe pesa zangu -ZAHERA

  Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga , Mwinyi Zahera amekuwa akionekana sana hapa Tanzania kwa muda mrefu sana na kuzua maswali kwanini bado yupo Tanzania . Kocha huyo ambaye watu wengi walitegemea muda huu angekuwa na timu ambayo angekuwa anaifundisha Lakini amekuwa akionekana sana hapa nchini. Akizungumza na kituo...
Ligi Kuu

Nitarudi YANGA kama GSM wakiichukua YANGA -ZAHERA

  Kulikuwa na tetesi kuwa aliyewahi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga , Mwinyi Zahera anatakiwa tena na viongozi wa Yanga arudi kwenye kikosi hicho cha mabingwa wa Kihistoria. Akizungumza na kituo cha habari cha Global Online TV kuhusu uwezekano wa yeye kurudi Yanga siku moja amedai kuwa inawezekana...
Ligi Kuu

Mashabiki wa Yanga ni mamluki -NUGAZ

Moja ya vitu ambavyo mashabiki wa Yanga walikata tamaaa ni pale timu yao ilipopata suluhu dhidi ya Tanzania Prisons kwenye uwanja wa Taifa. Suluhu ambayo iliwafanya wapate alama mbili katika michezo miwili iliyopita tena katika uwanja wao wa nyumbani wa Taifa jijini Dar es Salaam. Taratibu mioyo yao imeanza kukata...
Ligi Kuu

Yanga timu ya kawaida -KOCHA WA PRISONS

  Jana Tanzania Prisons waliwalazimisha Yanga Suluhu katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam , uwanja ambao unatumiwa na Yanga kama uwanja wa nyumbani. Suluhu ambayo Yanga hawajafurahishwa nayo kutokana na mategemeo makubwa waliyokuwa nayo awali . Yanga katika mechi mbili zilizopita wamefanikiwa kupata alama mbili pekee. Tanzania Prisons...
Ligi Kuu

Niyonzima ndiye mchezaji mwenye akili Yanga- KOCHA WA YANGA

  Jana Yanga wametoka suluhu na Tanzania Prisons na inakuwa mechi ya pili mfululizo kuchukua alama moja baada ya kutoka sare ya (1-1) dhidi ya Mbeya City mechi iliyopita iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa pia. Baada ya mchezo huo kocha wa Yanga alizungumza na vyombo vya habari ikiwemo Kandanda.co.tz iliyoshuhudia...
Ligi Kuu

Yanga haichezi REDE inacheza MPIRA -NUGAZ

Jana kulikuwa na mechi ya ligi kuu Kati ya Yanga na Prisons , mechi ambayo ilihudhuliwa na mtandao wa kandanda.co.tz katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Baada ya mechi ile mtandao huu ulifanya mahojiano na Afisa Mhamasishaji wa klabu ya Yanga ndugu Antonio Nugaz kuhusiana na mchezo huo...
Blog

Yanga walikosea sana kumuacha Balinya-MWINYI ZAHERA

  Jana mtandao wa kandanda.co.tz ulikuwa na Mwinyi Zahera maeneo ya mlimani city kwa ajili ya mahojiano maalumu. Kwenye mahojiano hayo kocha huyo wa zamani wa Yanga aliulizwa maswali mengi na mtandao huu , Lakini moja ya swali ambalo aliulizwa na kuachwa kwa wachezaji aliowasajili . Moja ya wachezaji ambao...
1 13 14 15 16 17 79
Page 15 of 79