Nashusha bonge la mjengo Dodoma- ZAHERA
Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga , Mwinyi Zahera anataka kupafanya Tanzania kama nyumbani kwake baada ya Congo . Kocha huyo amedai kuwa ana mpango wa kujenga nyumba katika mji wa Dodoma ndiyo maana anatumia muda mwingi pia kuwepo Tanzania mara baada ya kuachana na Yanga . Kocha huyo...