Wachezaji wa YANGA walikuwa wanakosa hata Elfu kumi – ZAHERA
Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga , Mwinyi Zahera amezidi kutoa maoni yake kuhusiana na klabu yake ya zamani . Jana alifanikiwa kuzungumza na mtandao huu wa kandanda.co.tz katika mahojiano maalumu. Katika mahojiano ya jana aliulizwa atoe tofauti kati ya Yanga ya Luc Eymael na Yanga ambayo...