Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
"Naomba niwape UPDATES za BUNJU baada ya Wiki 2 Uwanja wa Mazoezi utakuwa Tayari baada ya TAKUKURU kuziachia NYASI hizo baada ya Kukamilika kwa Uchunguzi wa Kesi ya Msingi"-CEO Crescentius Magori
Ndiyo maana mwisho wa siku wachezaji wetu walipata nguvu ya kupigana kwa sababu ya mashabiki ambao walikuwa jukwaani, na Uganda walikuwa wameingiwa na hofu.