Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Kocha huyo ambaye aliipandisha timu kutoka ligi daraja la kwanza mpaka ligi kuu msimu huu amefukuzwa kazi baada ya timu yake kufungwa goli 6-1 na Azam FC.
Kamati ya Nidhamu ya TFF imebaini kuwa Abdalah Shaibu Ninja alimpiga kiwiko beki wa Coastal Union katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.
Jana kulikuwa na mechi ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa, Yanga dhidi ya KMC. Mechi hii ilikumbwa na tukio moja ambalo limezua mjadala mkubwa. Tukio la Ally Ally kujifunga kwa kichwa akiwa kwenye harakati za kuokoa krosi iliyopigwa na Ibrahim Ajib. Kiufundi kipi kilisababisha Ally Ally kujifunga ? Ajib akipongezwa baada...
Kila mtu ana jicho lake, jinsi anavyokiona kikosi cha Amunike. kuna wanaoona kikosi kimesheheni mabeki watupu, kuna wanaoona kikosi kiliwahitaji baadhi ya nyota ambao hawakuitwa. Lakini jambo pekee la msingi la kushika ni kwamba UKOCHA NI TAALUMA.
Yani timu itoke Dar, baada ya siku tatu inatakiwa icheze mechi Iringa, baada ya siku tatu inatakiwa icheze mechi Shinyanga.Itoke Shinyanga, iende Dar tena kucheza mechi. Unacheza ndani ya muda mfupi bila mapumziko kwa wachezaji