
Golikipa wa Simba na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ataikosa mechi dhidi ya Mbao Fc itakayochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Aishi Manula amekuwa na majeraha ya kidole ambayo yamemsababisha asifanye mazoezi kwa ukamilifu.
Pamoja na kwamba ameelekea Morogoro, lakini hatokuwepo kwenye sehemu ya mchezo huo kutokana na maumivu ya kidole yanayomkabili.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.