Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Blog

Hivi ule mchango wa kuichangia YANGA uliishia wapi ?

Jana nilikuwa mimekaa kwenye banda umiza nikiwa natazama mechi kati ya Tanzania Prisons na Yanga. Hapana shaka hii ni mechi ambayo ilikuwa na hisia kubwa sana kuzidi mechi zote ambazo zimechezwa msimu huu kwenye ligi kuu. Ilikuwa mechi ambayo ilionesha namna gani ambavyo mashabiki wa Yanga wana mapenzi makubwa na timu...
Ligi Kuu

Yanga yashinda tena MKOANI.

Timu ya Yanga imefanikiwa kushinda katika uwanja wa sokoine mkoani Mbeya dhidi ya Tanzania Prisons Tanzania Prisons walikuwa wa kwanza kufunga goli, kabla ya Ibrahim Ajib kusawazisha goli hilo. Amis Tambwe aliyetokea benchi aliiwezesha Yanga kufunga goli la pili. Wakati mpira ukiwa unaelekea mwishoni , Amis Tambwe tena alifunga goli...
Ligi Kuu

Beno Kakolanya bado yupo YANGA.

Kuna tetesi nyingi sana ambazo zilikuwa zimezagaa kwenye dirisha dogo la usajili kuhusu Beno Kakolanya. Habari nyingi zilikuwa zimezagaa kuwa amevunja mkataba na klabu yake ya Yanga baada ya klabu hiyo kushindwa kumlipa mshahara wake na fedha yake ya usajili. Leo hii mtandao wa Kandanda.co.tz umemtafuta Beno Kakolanya na amedhibitisha...
Blog

Mrithi wa Manji huyu hapa.

Suleiman Lukumay amechaguliwa na kamati ya utendaji ya klabu ya Yanga kuwa kaimu mwenyekiti wa klabu ya Yanga. Suleiman Lukumay amechaguliwa kuziba nafasi hiyo iliyoachwa wazi na aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Yusuph Manji, ambaye amejiuzuru kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Suleiman Lukumay atakaimu nafasi hiyo mpaka Yanga itakapofanya...
Blog

Natamani CHAMA asome kitabu cha NONDA

Ardhi yetu inakila aina ya baraka, ina kila aina ya uzuri. Kwa kifupi nchi yetu imebarikiwa sana. Kuna vingi sana vya kujivunia ndani ya nchi yetu. Mungu alileta amani na kuifanya nchi yetu iwe kisiwa cha amani. Tunajivunia amani ambayo tuko nayo, tunajivunia utulivu tulionao. Hakutunyima vitu vingi vizuri. Hata...
Mabingwa Afrika

Simba ‘yaua’ MTU!

Dakika nane pekee ndizo ambazo ziliwachukua Simba kufunga goli la kwanza kupitia kwa John Raphael Bocco. Goli hili lilidumu kwa dakika 19 , ambapo Guevand Nzambe aliipatia Mbambane goli la kusawazisha. Goli ambalo liliwapa nguvu Mbambane katika mchezo huu. John Bocco aliipatia timu yake goli la pili kwa mkwaju wa...
Blog

Makambo anawasahaulisha YANGA kuwa wanahitaji Mshambuliaji.

Bado wako katika kampeni za kuusaka ubingwa, kampeni ambazo zinaonekana kwao zinaenda vyema. Mpaka sasa hawajafungwa hata mechi moja. Wameshinda mechi 10 kati ya mechi 12 ambazo wamecheza msimu huu kwenye ligi kuu Tanzania bara. Kwanini Yanga wanahitaji mshambuliaji mwingine? Hii ligi ni ndefu kuna wakati wachezaji hupata majeraha, huchoka...
Blog

Kwanini Tanzania ilifungwa dhidi ya Lesotho?

Jana timu ya taifa ya Tanzania ilikuwa uwanjani kutafuta alama tatu ambazo zingeiwezesha kufuzu moja kwa moja kwenye michuano ya Afcon lakini kwa bahati mbaya walifungwa goli moja kwa bila na kuwalazimu kusubiri mpaka mechi ya mwisho ambayo itaamua nani atakayeweza kufuzu. Hizi hapa ni sababu ambazo zilisababisha Taifa Stars...
1 53 54 55 56 57 79
Page 55 of 79