Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Blog

Tunaukimbia ukweli kwa kujificha kwenye kichaka cha kumlaumu Amunike!

Tarehe 22/08/2017 niliamka na mawazo sana, mawazo ambayo yalitokana na mimi kuona furaha ambayo walikuwa nayo Watanzania baada ya kutangazwa Emmanuel Amunike kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars. >>>Tunawekeza ubora wa paa la Taifa stars na kusahau msingi wake. Kocha ambaye alicheza kwa mafanikio makubwa enzi za uchezaji wake. Alicheza...
Blog

Maeneo yanayoweza kuinyima ushindi STARS dhidi LESOTHO!

Leo Taifa Stars inacheza mechi ambayo itaamua uwezekano wa wao kushiriki Afcon ya mwaka 2019 huko Cameron. Wanahitaji ushindi ambao utawahakikishia safari ya kwenda Cameron. Kama wakishinda watakuwa wamefikisha alama 8 ambazo haziwezi kufikiwa na Cape Verde pamoja na Lesotho. Hivo watakuwa wameungana na Uganda moja kwa moja kwenda Cameron....
Blog

Tumeamua kufanya mabadiliko? Basi Cheo cha Usemaji wa klabu KISIWEPO!

Hapana shaka unahitaji maamuzi magumu kufikia ndoto yako ambayo unaiota kila siku kuifikia. Unahitaji kujikana kwenye vitu vingi katika maisha yako. Na kuna wakati mwingine kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa tunavipenda sana huwa inatuhitaji kuviacha ili kufikia tu sehemu ambayo tunaiota. Kwa kifupi mafanikio huja na sadaka kubwa sana....
Blog

Yanga inamwihitaji TIBOROA kama mwenyekiti na MANJI kama mwekezaji.

Yanga ipo katika kipindi kigumu sana kwa sasa. Kipindi ambacho unahitaji moyo kukipitia. Ndicho kipindi ambacho kama mwanadamu wa kawaida unaweza kupoteza marafiki wengi sana na ndicho kipindi ambacho unaweza kuwajua marafiki wa kweli. Hakuna mwanadamu anayependa shida hata kidogo, binadamu wote tunapenda tuishi maisha ya amani na furaha tele,...
Ligi KuuTetesiUhamisho

Niyonzima Kurudi Yanga

Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa leo tarehe 15 November. Klabu ya Simba imepokea majina ya wachezaji watano kutoka kwa kocha mkuu wa timu hiyo Patrick Assumes ambao wanatakiwa kupelekwa kwa mkopo katika timu mbalimbali. Niyonzima Moja ya majina ambayo yapo kwenye orodha hiyo ni jina la kiungo wa klabu...
Blog

Tunaamini kupitia MANJI IMARA na Siyo YANGA IMARA.

Dunia iko mbele sana, na imetuzidi hatua nyingi sana sisi WATANZANIA ambao tunaishi kwenye dunia yetu ya peke yetu inayoitwa TANZANIA. Hii ndiyo sayari yetu, sayari ambayo tumejitengenezea sisi tuishi maisha yetu ambayo tunayapenda na kuyafurahia sisi wenyewe. Hii ndiyo sayari ambayo tumehararisha mambo ya HOVYO kuonekana na vipaumbele vikubwa. Tumewekeza...
EPL

Mechi NNE za kukupa pesa Leo!, Mourinho ‘KUFA’ Etihad.

LIVERPOOL vs FULHAM, LIVERPOOL KUSHINDA SABABU: Mechi tano zilizopita, Liverpool ameshinda mechi 3 , akatoka sare mchezo mmoja na kupoteza mchezo mmoja. Wakati Fulham katika mechi tano zilizopita amefungwa mechi zote. Mechi nne zilizopita kati ya Liverpool na Fulham , Liverpool wameshinda mechi zote. Na katika mechi nane dhidi ya...
EPL

Manchester Derby: MREMBO MPYA dhidi ya MREMBO WA ZAMANI.

Hapana shaka Manchester United ilikuwa alama halisi ya mafanikio katika mpira wa England. Hawa ndiyo walikuja kutoa utawala wa Liverpool na kuja kuweka utawala wao. Utawala ambao uliwafanya wajimilikishe kila kitu ambacho walikuwa wanakitaka. Na hapa walikuwa chini ya Sir. Alex Ferguson. Mtu mwenye mbinu nyingi za kushinda. Utawala wao...
Blog

YANGA hawaamini kama wanaweza kuishi bila MANJI!

Hapana shaka ndiye aliyewafanya wanachama na wapenzi wa klabu ya Yanga watembee wakiwa wametunisha vifua vyao. Wao ndiyo walikuwa wababe sana!, hakuna ambaye alikuwa anawatisha. Waliamini mitaa yote ilikuwa chini yao. Waliimiliki mitaa yote na kuiweka katika mikono yao. Hakuna ambaye aliweza kuwatisha kwa sababu walikuwa na kikosi imara sana. Kikosi...
Blog

Kinachomuumiza ULIMWENGU ni Mafanikio ya SAMATTA!

Mwanzo wake ulionesha kuwa yeye ni mtu ambaye ameumbiwa kwa ajili ya kucheza Ulaya. Alikuwa na ndoto hiyo, na alikuwa akiimba kila uchwao. Alifanya mazoezi kwa juhudi sana, akiamini kuna siku atacheza katika ligi kubwa barani Ulaya. Alitembea na imani hiyo, nguvu za imani yake akaziweka katika miguu yake. Macho...
1 54 55 56 57 58 79
Page 56 of 79