Tunaukimbia ukweli kwa kujificha kwenye kichaka cha kumlaumu Amunike!
Tarehe 22/08/2017 niliamka na mawazo sana, mawazo ambayo yalitokana na mimi kuona furaha ambayo walikuwa nayo Watanzania baada ya kutangazwa Emmanuel Amunike kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars. >>>Tunawekeza ubora wa paa la Taifa stars na kusahau msingi wake. Kocha ambaye alicheza kwa mafanikio makubwa enzi za uchezaji wake. Alicheza...