Tumemzoea AJIB na Tunaelekea Kumsahau AJIB.
Kuna muda tulitumia muda mwingi sana kumwandika, mikono yetu ilikuwa inatoa tabasamu kila tulipokuwa tunamwandika Ibrahim Ajib. Hata midomo yetu ilikuwa na furaha kubwa sana kila tulipokuwa tunamtaja Ibrahim Ajib. Midomo yetu ilikuwa inaona fahari kumtamka. Tena tulitumia muda mwingi sana kumtafutia majina ya kuvutia kupitia midomo yetu. Yupo aliyesema...