Singida wakanusha habari za KUKIMBIWA na wachezaji.
Kuna habari zilikuwa zimezagaa kuwa baadhi ya wachezaji wa Singida United wameandika barua kwa viongozi wao kuomba kuvunja mkataba kutokana na hali ngumu ya uchumi ndani ya klabu hiyo. Kandanda.Co.Tz iliamua kumtafuta Mkurugenzi Mkuu wa klabu hiyo Festo Sanga kutudhibitishia ukweli wa habari hizi ambazo zinazidi kuenea kwa kasi. Alipotafutwa...