Ipi tofauti ya Simba ya msimu uliopita na msimu huu?
1: Kuna mengi ya kuumiza na kuna wakati mwingine yanakera sana hasa hasa unapotumia nguvu nyingi mwanzoni zikakuishia mwishoni. Hiki ndicho kitu ambacho Simba kilikuwa kinawakera na kuwaumiza sana hasa hasa msimu uliopita. Walifanikiwa kuongoza kwa tofauti ya alama nane dhidi ya Yanga lakini mwisho wa ligi Yanga ilichukua ubingwa...