Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
La Liga

Rekodi ambazo Ronaldo na Messi hawajawahi kuzivunja UEFA

Kuna vitu vingi wamevifanya, kuna rekodi nyingi wameziweka , rekodi ambazo zimewafanya wawe na mashabiki wengi duniani. Lakini kuna baadhi ya rekodi hawajawahi kuzivunja au kuzifikia na zinaonekana ni ngumu kwao kuzifikia hasa hasa kwenye michuano ya klabu bingwa barani ulaya. Juzi Ronaldo alifunga hat-trick yake ya 50 na kumuacha...
Ligi Kuu

Wababe wa Yanga walazwa

Ligi kuu soka Tanzania bara hatua ya lala salama imeendelea tena leo kwa michezo mitatu ya mapema, ambapo Singida united ya kutoka mkoani Singida (wababe wa Yanga) imeangukia pua baada ya kuchapwa kwa 1-0 na timu ya soka ya Lipuli FC katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa....
Ligi Kuu

Jana Mlimtegemea Manji, Leo Mtengenezeni Manji wa Kesho.

Mpira ni pesa, hii kauli ina maana kubwa sana ingawa sisi tunaichukulia kawaida kwa sababu tumezoea kuchukulia vitu kawaida katika ukawaida usio wa kawaida. Mpira unatengeneza pesa nyingi sana kama ukiamua kuwekeza pesa , akili na muda kwenye mpira. Vitu hivi vitatu vina umuhimu mkubwa katika uwekezaji wa mpira biashara...
Ligi Kuu

Macho yangu yanamkubali Djuma, Masikio yangu hayamkubali Julio

Vipo vingi sana ambavyo hatujavipata na tunahitaji kuvipata ili kufikia sehemu ambayo tunaitaka. Tunataka mafanikio, mafanikio ni vigumu kuyapata kama hakuna mtu wa kuyajenga mafanikio haya. Kimsingi katika mafanikio ya mpira wajenzi ni wengi sana wanaohitajika ili kukamilisha hekalu letu la mpira wa miguu. Kuna wakati vidole vyetu viliimba sana...
Ligi Kuu

Kilichomtokea Arteta ndicho kinachomtokea Nsajigwa

Dakika mbili za mwanzo zilitoa tumaini la Manchester City kupindua matokeo dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya. Kadri muda ulivyokuwa unaenda tuliamini kuna sekunde itawadia kwa Manchester City kufunga goli jingine la pili, goli ambalo lingeongeza morali ya wachezaji ndani ya timu Kipindi cha kwanza...
Mabingwa Ulaya

Buffon nisome na kunielewa mimi

Kila mtu anamuonea huruma na kuna wakati mwingine huruma hizi zinaenda sambamba na sifa nyingi kuhusu kipaji chake. Golikipa aliyedumu kwa muda mrefu tena kwenye kiwango chake bila kutetereka, miaka 40 inasomeka kwenye paji lake la uso lakini anadaka mipira ya mashuti ya vijana wa miaka (20-29) Kuna wakati mwingine...
Ligi Kuu

Macho yangu yanatamani kumuona Lwandamina

Mvua ilikata ghafla, manyunyu yakabaki katika anga la klabu Yanga. Dalili ya kwamba mvua ya neema ilikuwa inapotea na kiangazi kukaribia zilianza kuonekana baada ya mwenyekiti wa timu hiyo Ndugu. Yusuph Manji kujiweka pembeni na klabu hii. Hali ilianza kubadilika taratibu kwa sababu Ndugu. Yusuph Manji ndiye alikuwa kiungo muhimu...
EPL

Kipi wakifanye Manchester City washinde dhidi ya Liverpool?

Wiki iliyopita ilikuwa wiki ngumu sana kwa Pep Guardiola baada ya kupoteza michezo miwili kwa magoli sita (6) jumla, kazi kubwa waliyonayo leo ni wao kuhakikisha wanaifunga Liverpool kuanzia magoli 4-0 ili wafanikiwe kufuzu kwenda hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya. Manchester City wanaweza kufunga magoli...
1 69 70 71 72 73 79
Page 71 of 79