Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
EPL

Koti la Sir Alex Ferguson alilivaa Jose Mourinho Etihad

Baridi limevaa ngozi yangu hii imekuwa kawaida sana siku hizi asubuhi kuwa na baridi kutokana na mvua, mvua ambayo imetusahaurisha kuhusu joto la Dar es Salaam Joto ambalo limekuwa likitutesa kwa muda mrefu sana, mateso haya huwa ya nyakati fulani yenye majira ya joto. Ndipo hapa huwa napenda kusema kila...
Shirikisho Afrika

Yanga ina 75% ya kufuzu makundi

Yanga waliingia na mfumo wa 4-4-2 Diamond wakati Wallayta Dicha walikuwa wanacheza mfumo wa 4-4-2 Lakini pamoja na kwamba Yanga kwenye karatasi ilionekana wanacheza 4-4-2 Diamond , uwanjani walionekana kucheza bila mshambuliaji halisi wa katikati , ambapo Raphael Daud alikuwa anacheza kama false 9 Kitu ambacho kilikuwa kinamsaidia kushuka chini...
Ligi Kuu

Yanga inawaza vizuri ila inatekeleza vitu kawaida

Tulizoea kupata vitu kutokana na hisani ya mtu ili macho yetu yaweze kushuhudia jua likizama na kukaribisha giza. Maisha yetu yalikuwa yanamtegemea mtu kutuletea mwanga ili tupate nuru, kuna wakati magoti yetu yalichubuka sana wakati tunaomba msaada kwa hawa watu. Hatukuona haya kutembeza bakuri la mchango ili tupate kuwalipa kina...
La Liga

Usiteleze ukiwa dunia ya Ronaldo, Usianguke ukiwa dunia ya Messi

Ureno na Argentina ndizo nchi ambazo kwa sasa zinaonekana zinamiliki wafalme wa soka duniani. Wafalme ambao wamefanikiwa kujenga nguzo imara katika falme zao. Nguzo ambazo zinaonekana ngumu kwa kizazi kinachokuja kuzivunja, inawezekana mikono yao hawa watu wawili ilikuwa dhabiti kwenye ujenzi wa nguzo hizi. Ujenzi ambao umefanyika kwenye mashindano mengi...
Mabingwa Ulaya

Ronaldo alisimama kwenye ngazi ya Zidane

Timu zote zilikuwa zinacheza mfumo wa 4-4-2 lakini kwenye maumbo ya mifumo ndiyo zilikuwa zinatofautiana. Real Madrid ilikuwa inacheza 4-4-2 Diamond na Juventus ilikuwa inacheza 4-4-2 katika umbo la flat? Ronaldo akifunga bao Upi uimara na udhaifu katika mifumo hii kwenye mechi ya jana? Massimiliano Allegri alionekana kuzidiwa kwenye mbinu...
Ligi Kuu

Salah tizama alipo Ian Rush, kisha jenga ufalme wako

Mwishoni mwa juma hili kutakuwepo na derby ya kirafiki, derby ambayo mashabiki wa timu zote mbili hukaa pamoja na kushangilia pamoja bila vurugu yoyote. Hakuna uhasama kwenye Merseyside derby, derby ambayo mfalme wake ni Ian Rush, magoli 25 aliyoyafunga kwenye derby hii yanamfanya kuwa mchezaji aliyefunga magoli mengi kwenye mechi...
Blog

Insta ya Cristiano Ronaldo imenifanya nimkumbuke Ngassa na Kaseja.

"Kiyumbi nenda Instagram kuna Email nimekutumia", huu ndiyo ujumbe wa simu wa kwanza kuusoma leo hii kwenye simu yangu kutoka kwa rafiki yangu mkubwa sana. Sekunde sikuziruhusu zipite nyingi, vidole vyangu vilijongea taratibu mpaka Instagram, mtandao ambao umekuja kuzima zama za Facebook. Watu maarufu ni nadra kuwaona wakitumia kwa ukubwa...
Blog

Taifa Stars imetufuta Chozi kwa leso yenye mchanga

Nyuso zetu zimejaa furaha, furaha ya muda mfupi. Furaha ambayo imetusahaulisha kila tatizo lililopo katika familia yetu. Familia yetu ina matatizo mengi sana, matatizo ambayo hayawezi kuondolewa na furaha ya siku moja Tunajaribu kujificha nyuma ya shina la mchicha tukiiamini kuwa hatutoonekana, tunakosea sana kujaribu kujifuta machozi kwa leso ya...
Ligi Kuu

Habari za Bunju na Geza ulole ziliishia wapi??

Kelele tulizipiga sana, tuliandika sana, watu wakaongea sana kwenye redio kama ni wimbo ungekuwa wimbo unaohusu kuhamasisha wakazi wa Kariakoo wamiliki viwanja vyao binafsi. Viwanja ambavyo vingewawezesha watu wa Kariakoo waondokane na adha ya kuomba omba kila wakati. Ni aibu kubwa sana vilabu kama Simba na Yanga vyenye umri mkubwa...
1 70 71 72 73 74 79
Page 72 of 79