
Emmanul Okwi
Baada ya Emmanuel Okwi na Meddie Kagere kufunga mabao matatu katika mechi moja kwa mara ya kwanza msimu huu katika mchezo dhidi ya Coastal Union ni wazi sasa katika vita ya ufungaji bora imetawaliwa na wachezaji kutoka Simba sc.
Katika chati ya ufungaji bora ni Makambo wa Yanga na Salim Aiyee kutoka Mwadui ndio waliopo kwenye chati za juu pekee katika kinyanga’anyiro hicho.

Tazama chati hapa ya Wafungaji bora:
Na. | Mchezaji | Timu | |
---|---|---|---|
1 | ![]() | ![]() | 23 |
2 | ![]() | ![]() | 18 |
3 | ![]() | ![]() | 17 |
4 | ![]() | ![]() | 16 |
5 | ![]() | ![]() | 15 |
Unaweza soma hizi pia..
Rafiki yangu Ajib ananipa unyonge!
Ajib hajui mpira? Hapana. Kuna timu haitamani kipaji cha Ajib? Hapana. Katika ubora wake kuna timu katika ligi yetu Ajib anaweza kukaa benchi?
Juma Mgunda na utamu wa Coastal Union yake!
Mgunda mpaka sasa ameiongoza Coastal Union katika michezo 10 ya Ligi.
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.