Uwanja wa SIMBA ungeitwa jina la Hassan Dalali na siyo jina la MO !
Kuna hadithi nyingi sana ambazo ziko wazi kwenye dunia hii , hadithi ambazo zimejumuisha mashujaa wetu , hadithi ambazo zimeandikwa kwenye vitabu mbalimbali na pengine hadithi hizi zimewekewa alama ya ukumbusho ili kuwakumbuka na kuwapa heshima mashujaa wetu. Kumbukumbu zangu zinanikumbusha mzee mmoja anayeitwa Santiago Bernabeu, mzee ambaye enzi...