Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

NENDA BALINYA,MIMI NGOJA NIENDELEE KUANGALIA HII FILAMU.

  NA Mustafa Mtupa. Nikiwa ndani ya Dala dala ya mbagala ikiwa inelekea maeneo ya Makumbusho huku watu wakiwa wamejaa hadi dirishani. Nilimsikia Mzee mmoja wa makamo akinong'ona kwa sauti ya chini saana akisema."ndani yatimu yetu ya yanga kwa jinsi hali ilivyo mbaya kila mmoja anamuhisi mwenzake mchawi" Nikiwa nimetega...
Blog

Kocha wa SIMBA ana kiburi , Mkorofi !

Simba wameshaachana na Patrick Aussems , Ndoa yao kwa sasa haina uhai, ila kwa sasa kuna penzi jipya Kati ya Simba na kocha wao mpya Sven Vandenbroeck. Haya ni mambo matatu ambayo unatakiwa kuyafahamu kuhusu kocha huyu. RAIA WA UBELGIJI Kama ilivyokuwa kwa Patrick Aussems kutoka katika nchi ya Ubelgiji...
Blog

YANGA wameshafungwa 3-0 na SIMBA

  Maisha yanatupa nafasi muda kutupa nafasi sisi wanadamu. Nafasi ambazo ndizo huwa daraja kubwa kwetu sisi kufikia mlima mafanikio. Mlima ambao ni mgumu sana kuupanda. Na ndiyo mlima pekee ambao kila mwanadamu anaupanda, kila uchwao maisha hutoa ruhusa kwa muda ili muda utupe sisi nafasi za kutumia kuupanda huu...
Blog

Jamal Malinzi aachiwa huru

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imemwachia huru aliyekuwa Rais wa TFF,Jamal Malinzi na aliyekuwa katibu wake Celestine Mwesigwa wamekubali kulipa faini baada ya kuhukumiwa kwenda Jela miaka 2 au faini....
Blog

Njaa yawakimbiza kina BALINYA, MOLINGA Yanga !

Mabingwa wa kihistoria nchini Dar Young African (Yanga) inakumbana na changamoto kubwa kwa sasa ndani ya klabu hiyo Baada ya baadhi ya wachezaji nyota wa klabu hiyo kudaiwa kuvunja mkataba na klabu hiyo kwa Madai ya kutolipwa mshahara wao kwa muda wa miezi mitatu. Kwa mujibu mwa taarifa kutoka chanzo...
1 25 26 27 28 29 85
Page 27 of 85