NENDA BALINYA,MIMI NGOJA NIENDELEE KUANGALIA HII FILAMU.
NA Mustafa Mtupa. Nikiwa ndani ya Dala dala ya mbagala ikiwa inelekea maeneo ya Makumbusho huku watu wakiwa wamejaa hadi dirishani. Nilimsikia Mzee mmoja wa makamo akinong'ona kwa sauti ya chini saana akisema."ndani yatimu yetu ya yanga kwa jinsi hali ilivyo mbaya kila mmoja anamuhisi mwenzake mchawi" Nikiwa nimetega...