YANGA wanatakiwa kuizidi SIMBA kumsajili KOTEI
James Kotei anaonekana kuwa katika wakati mgumu Baada ya timu yake ya Kaizer Chiefs kuachana naye . Kuachana na mchezaji huyo kunamfanya awe huru kusajiliwa na timu yoyote kwa makubaliano binafsi.
Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.