
Baada ya Yanga kushindwa kumnasa kiungo hatari wa UD Songo Luis Jose Misquissone kutokana na dau kubwa, mchezaji huyo alitaka shilingi milioni 110 za kitanzania kama ada ya uhamisho, Yanga imehamia mashambulizi yake kwa Dickson Ambundo.
Mchezaji huyo anayekipiga Gor Mahia kwa sasa amewahi kucheza Alliance FC ya Mwanza msimu juzi , msimu ambao alifanya vizuri akiwa na Alliance FC kwa kufunga magoli zaidi ya 10 kwenye msimu huo.
Mafanikio hayo makubwa yaliwavutia Gor Mahia kumsajili msimu jana , na kwa sasa Yanga imepanga kumrudisha mchezaji huyo hatari ambaye hucheza kama winger wa pembeni. Pia Dickson Ambundo anauwezo wa kucheza kama mshambuliaji wa pili.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.