Makambo huyoo anaondoka Yanga!
Kwa habari za ndani Heritier Makambo ameuzwa kwa dau nono huku timu anayokwenda ikiwa haijawekwa wazi bado.
Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.