Haji Manara msemaji wa klabu ya Simba
BlogTetesi

Mabadiliko yanakuja tena Simba, Manara anaelekea Benchi?

Sambaza....

Taarifa ambazo Kandanda.co.tz imezipata zidai huenda Mtangazaji kijana aliyebobea Gift Macha kuchukua nafasi ya afisa habari wa klabu ya Simba Sc.

Nafasi hii ilitangazwa na klabu hiyo, kwa sasa nafasi hiyo inashikiliwa na Haji Manara kama msemaji wa klabu hiyo.

Zaidi zitafuata…

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x