Yanga bila Migomba yaifuata Dicha
Kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu Migomba hayumo kunako kikosi cha Yanga sc, kilichoondoka leo kuelekea Hawassa, nchini Ethiopia tayari kwa mchezo wa marejeano wa mchujo kuwania kuingia hatua ya makundi ya kombe la shirikisho dhidi ya Wolaita dicha Kikosi cha wachezaji 20, na viongozi 12, kimepanda ndege ya Shirika la ndege...