Shirikisho Afrika

Shirikisho Afrika

Amunike: Tunapaswa kujifunza kutokana na Makosa.

Kocha mkuu wa kikosi cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Emmanuel Amunike amesema wataangalia makosa ambayo waliyafanya hadi kufungwa mabao 3-0 na Cape Verde na kuyarekebisha kabla ya mchezo wa Jumanne. Amunike amesema licha ya kufungwa lakini bado wanamchezo mwingine siku ya Jumanne na wanatakiwa kuangalia...
BlogShirikisho Afrika

Kichuya, Nyoni watemwa Taifa Stars.

Kocha Mkuu wa timu ya Soka ya Tanzania (Taifa Stars), Emmanuel Amunike ametangaza kikosi cha wachezaji 30 kwa ajili ya michezo miwili ya kufuzu AFCON dhidi ya Cape Verde Oktoba 12 na 16, 2018. Katika kikosi hicho wachezaji watatu kati ya Sita wa Simba ambao waliondolewa kuelekea mchezo dhidi ya...
Shirikisho Afrika

Karia: Tutaisaidia Yanga michuano ya Afrika

Rais wa shirikisho la kandanda nchini (TFF) Wallace Karia amesema wataendelea kuisaidia timu ya Dar Young Africans katika ushiriki wao kwenye michuano ya Shirikisho Afrika. Karia ameyasema hayo Jumamosi, May 19 wakati wa kulikabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara kwa timu ya Simba Sports Club. Amesema...
1 8 9 10 11 12 13
Page 10 of 13