
- Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
- George Mpole anaishi ndoto zetu!
- Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
- Kisa cha Kalilou Fadiga kuiba cheni.
- Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Kiungo wa Yanga ambaye amemaliza mkataba wake na klabu hiyo ameonekana kuwagonganisha KMC FC na Lipuli FC ambavyo vyote vinataka huduma yake msimu ujao.
KMC FC ambayo imepata nafasi ya kushiriki kombe la shirikisho barani Afrika msimu ujao , inaonekana kutaka kujiimarisha kwa kusajili wachezaji wazoefu.

Mrisho Ngassa anauzoefu mkubwa kwenye michuano hii ya kimataifa ndiyo maana KMC FC ipo kwenye vita vikali na Lipuli FC ambayo ilikosa nafasi ya kushiriki mashindano ya kimataifa baada ya kufungwa na Azam FC kwenye fainali ya kombe la Azam federation Cup.
Kwa upande wa Mrisho Ngassa inaonekana hajatoa uamuzi sahihi wa sehemu anayotaka kwenda kwa sababu yuko kwenye mazungumzo mapya na klabu ya Yanga kuangalia uwezekano wa yeye kuongeza mkataba.
Unaweza soma hizi pia..
Simba yatangaza rasmi kuachana na Morrison
Kumekuwepo na tetesi zinazomuhusisha Benard Morrison kurejea klabu yake ya zamani Yanga ambayo aliitumikia kabla ya kujiunga na Simba.
Simba: Tunawaza kumsajili Simon Msuva!
Kwasasa Simon Msuva yupo nchini akiwa hana klabu anayoichezea baada ya kushindwa kufikia muafaka na waajiri wake Wydad Casablanca
Kibwana: Inawauma lakini nipo Yanga!
Uwepo wa Kibwana Shomary tena kwa miaka miwili Yanga kunahatarisha nafasi za walinzi wa kushoto wa Yanga pia kina Yassin Mustapha na Bryson Raphael.
Nyota watakaompisha Ten Hag United wakiongozwa na Pogba
Pengine moja ya majina ya kushangaza zaidi ya wababe hao wa Uingereza wanasemekana kuwa tayari kuondoka katika klabu hiyo ni mhitimu wa akademi