Kamati ya Nidhamu ya TFF imebaini kuwa Abdalah Shaibu Ninja alimpiga kiwiko beki wa Coastal Union katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.
Basi viongozi wanatakiwa wawape wananchi kitu ambacho kinaweza kuwa na kumbukumbu kwao, mtu akinunua kitu kinabaki kwake kuliko kumuomba mtu atoe hela bila kupata kitu chenye kumbukumbu.
Ilikuwa ngumu kwa Yanga kupita katikati ya uwanja kwa sababu eneo hili ni bora sana kwa Simba hivo isingewapa nafasi Yanga kufanya vyema kupitia katikati.