Tujiulize kitu. Dismas hawezi kuwaita mashabiki kuja kiwanjani, mtu gani wa Yanga au nje ya Yanga anayeweza kuwaita mashabiki? Mshindo Msolla? Frederick Mwakalebela? Mzee Akilimali? Jimmy Kindoki? Mbwiga Mbwiguke? Masau Bwire?
Leo hii tuliyoshinda majumbani kwetu bila ya kwenda makazini kuadhimisha Sikukuu ya Mei Mosi, tuiingie katika tovuti hii kuona taarifa mbalimbali za kimichezo na makala za kutosha.
Shaban Kisiga Malone. Mchezaji mmoja na nusu. Dead ball specialist. King of assist. Ball player. Ally Kamwe aliwahi kuniambia anachoweza kukifanya Said Juma Makapu kwa dakika moja, Kisiga anakifanya kwa sekunde mbili. Huyu ndiyo Kisiga aliyeamua kuukacha mpira na kukaa zake Vingunguti. Jumamosi asubuhi nilikuwa nikifuatilia mahojiane yake na kaka...
LEO wacha nimtafune jongoo mbichi, bila kujali ukakasi nitakaoupata katika kinywa. Nina marafiki wengi ambao ni wachezaji wa Simba. Wao wananiheshimu kama Mwandishi nami nawaheshimu kama wachezaji. Lakini leo nimeamua kumtafuna jongoo, si vinginenyo. Simba imeshatua zake Dar es Salaam ikitokea Zanzibar kwenye Michuano ya Kombe la Mapinduzi. Imetua mchana...
Aliwahi kujisemea mwendawazimu mmoja kuwa shetani akizeeka anageuka Malaika. Rafiki zangu wa Liverpool zamani walikuwa wakiishi kishetani, lakini sasa wanaishi Kimalaika. Muda sio rafiki mzuri tena kwao. Zamani enzi za zama za mawe Liverpool walikuwa na kocha wao aliyekuwa akiitwa Bill Shanky. Shanky hakuwa kocha tu, alikuwa kama baba katika...
Ilianza kama tetesi. Ikaja kama uvumi. Hatimaye imekuja kuwa kweli. Simba imeachana na kocha wao Mcameroon Joseph Omog. Kila zuri na baya la Omog litabaki kwenye vitabu vyetu vya kumbukumbu. Binafsi naamini kuna kosa Simba imelifanya juu ya Omog. Kosa lenyewe ni kuchelewa kumfukuza. Nitakuelezea huko chini jinsi ilivyochelewa na...