Zamani tulikuwa na kundi dogo la wachezaji wanaocheza nje. Hawakuwa wanafika hata watano, lakini hivi sasa tunaweza kuita wachezaji 17 wanaocheza nje bila kujumuisha wachezaji wa ndani.
Wengi tunawahukumu Rivers kwa tulivyowaona mara ya mwisho walivyocheza na Yanga. Kisha tunapima kuimarika kwa Yanga. Tukitoka hapo moja kwa moja tunaona Rivers kashatolewa na Yanga kasonga mbele