Nitakupa mikasa ya huyu mzee (Babu yake na Jonas) Mzee Masharubu ni Simba kweli kweli. Kuna mambo mawili yametokea Mzee Masharubu akiwa amelala zake kaburini
Zamani timu zetu zikienda kucheza na timu za Kaskazini kuanzia AirPort, mitaani hadi hotelini timu inaonyeshwa ishara ya kufungwa 5 na kiwanjani kweli tulikuwa tunafungwa Idadi ya mabao hiyo