Tshishimbi arudisha pesa za GSM
Bado sakata la Papy Kabamba Tshishimbi na klabu yake ya Yanga linazidi kupamba moto. Nahodha huyo wa Yanga mkataba wake unaisha mwezi huu na hakuna taarifa sahihi ya yeye kuongeza mkataba mpya na klabu yake hiyo. Wiki hii kaimu katibu mkuu wa Yanga , Patrick Saimon alidai kuwa wamempa Papy...