Yanga kuibomoa Mtibwa, yamtaka Abdulhalim Humuod
Ligi imesimama kwa sasa , kinachoendelea ni majadiliano ya namna gani ambavyo ligi itaweza kurudi tena baada ya kusimama kutokana na janga la Covid-19, janga ambalo limeikumba dunia nzima kwa sasa. Wakati dunia ikiwa ndani na vitu vingi vikiwa vimesimama kwa kiasi kikubwa , tetesi za usajili zinaendelea kuwepo...