Yanga kumtambulisha kocha wake mzawa!
Utambulisho wa benchi jipya la ufundu unatarajiwa kufanyika hivi karibuni kabla ya kufikia lilele cha siku ya Mwananchi Jumapili August 30.
Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.