Obi Mikel kuibukia Ligi Kuu Misri!
Lengo langu ni kuendelea kucheza mpira wa miguu, na natumai nitapata fursa, sijakataa ofa yoyote iliyotolewa kwangu.
Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.