Kakolanya akiwa Taifa Stars
Blog

Kakolanya rasmi Simba

Sambaza....

Aliyewahi kuwa golikipa wa Yanga ,Beno Kakolanya amesajiliwa na klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili.

Beno Kakolanya

Golikipa huyo aliyevunja mkataba wake na Yanga kutokana na kutomaliziwa pesa zake za usajili, hali hii ilimfanya agomee mazoezi na Yanga.

Baada ya kugomea mazoezi ya Yanga, kocha mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera alisema hamwihitaji tena kipa huyo ndani ya kikosi chake.

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x