Simba SC vs Yanga SC

Sambaza....

2 - 2
Mwisho

Baada

Meddie Kagere, mfungaji bora wa msimu 2018/19 na kinara wa magoli hadi sasa akiwa na goli 9, goli la mwisho amefunga katika mechi ya Lipuli Fc tarehe 25 dakika ya 49.

Kagere akiwa ameshika kiatu chake MK4 baada ya kukabidhiwa na Kandanda

Katika mechi tano zilizopita, Simba haijafungwa hata goli moja na ikitoka sare tasa moja, huku ikifunga mabao 12. Kwa upande wa Yanga imeshinda mechi tatu tu na kutoka sare tasa moja na 1-1 moja, huku ikifunga mabao matano na kufungwa mawili.


Mechi tano zilizopita:

  • Simba SC: W-W-W-W-D
  • Yanga SC: W-W-D-D-W

Kwa taarifa yako tu, katika tano bora ya wafungaji bora Ligi Kuu msimu huu hakuna mchezaji wa Yanga, huku Simba ikiwa na wawili tu. Tutajie…


Tofauti ya michezo kati ya Simba na Yanga ni miwili, Yanga hata akimfunga Simba na na kucheza michezo miwili iliyobaki huku Simba akiwa kalala, Yanga haifikishi alama za Simba. #SimVsYan20


MECHI  TANO ZA TIMU ZOTE KABLA YA KUKUTANA




 

Uwanja

Uwanja wa Mkapa
Taifa Rd, Dar es Salaam, Tanzania

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
04/01/2020 12:33 pm TPL 2019-2020 90'

Waamuzi

Mwamuzi wa Kati
Jonesia Rukyaa
Mwamuzi Msaidizi 1
Sudi Hussein
Mwamuzi Msaidizi 2
Hamisi Chang’walu
Kamishina
Khalid Bitebo

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x