
Balaa la GSM lianzidi kuonekana, limesajili wachezaji wapya ndani ya kikosi cha Yanga ili kukiimarisha kikosi cha klabu hiyo kubwa barani Afrika. Leo hii tena GSM wamefanya balaa jingine jipya.
Baada ya Andrew Vincent “Dante” kuwagomea Yanga kwa muda mrefu akidai ada ya uhamisho ya thamani ya milioni 50, lakini Leo hii rasmi Andrew Vincent “Dante” Amerudi kwenye kikosi cha Yanga Baada ya haki zake zote kukamilika.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,