
Kumekuwa na taarifa za ndani kuwa Mtendaji mkuu wa Simba , Magori kuondoka Simba na kuna habari za mtendaji mpya kutoka nje ya nchi kuchukua nafasi yake.
Mwenyekiti wa klabu ya Simba amedai kuwa mkataba wa Magori umeisha lakini bado anaendelea kuhudumu ndani ya klabu hiyo.

“Ni kweli alikuwa na mkataba wa miezi 6 na mkataba wake umeisha kwa sasa. Ila bado anaendelea kuwa mtendaji wa Simba mpaka pale tutakapotangaza jambo jingine”- alidai mwenyekiti huyo wa Simba, Sued Kwambi.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,