
Suleiman Lukumay amechaguliwa na kamati ya utendaji ya klabu ya Yanga kuwa kaimu mwenyekiti wa klabu ya Yanga.
Suleiman Lukumay amechaguliwa kuziba nafasi hiyo iliyoachwa wazi na aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Yusuph Manji, ambaye amejiuzuru kwa muda wa mwaka mmoja sasa.
Suleiman Lukumay atakaimu nafasi hiyo mpaka Yanga itakapofanya uchaguzi wake mwezi wa kwanza mwaka 2019
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,