
Akilimali
Taarifa zilizotufikia asubuhi hii ya Leo ni kuwa mwenyekiti wa baraza la wazee na mwanachama mkongwe wa Yanga , Yahya AKILIMALI ameaga dunia katika hospitali ya wilaya ya BAGAMOYO mkoani Pwani.
Tutazidi kukukuletea Habari zaidi kuhusu kifo hicho cha mwanachama huyo mkongwe na maarafu wa klabu ya Yanga, mabingwa wa kihistoria nchini.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,