
Simon Happygod Msuva, umri miaka 25 sasa, mchezaji wa zamani wa klabu ya Yanga, kwa sasa anacheza soka la kulipwa nchini Algeria katika klabu ya Difaâ Hassani El Jadidi.
Msuva amekuwa pia nguzo muhimu katika kikosi cha timu ya Taifa kilichofuzu kwa mara ya pili michuano ya kombe la mataifa ya Afrika baada ya miaka 39, akiwa amefunga mabao matatu muhimu.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,