
Kiraka wa Simba, Erasto Nyoni atakuwa nje ya uwanja kwa wiki tatu kufuatia majeraha ya goti aliyoyapata katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya KMKM hapo jana.
Nyoni ataukosa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya JS Saoura unaotarajiwa kuchezwa jijini Dar es Salaam Januari 12 mwaka huu.
Unaweza soma hizi pia..
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Moto wawaponza Simba CAF.
Simba iatapaswa kulipa pesa hizi ndani ya siku 60 tangu kutoka kwa hukumu hiyo, lakini pia wana siku tatu za kukataa rufaa.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.
Kombe la FA: Ni fainali ndani ya fainali.
Mchezo wa nusu fainali ni utakua na hadhi, ukubwa na umaarufu kuliko fainali yenyewe kutokana na aina ya wapinzani watakaokutana.